Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

A second-half brace from Benzema secures a dramatic comeback win!
 
What kind of Fan are you?
Timu ikifungwa goli moja tu ushaanza kung'aka. Hata mchezo haujaisha.
Wewe unataka timu iwe inafunga tuuuu isifungwe hata goli moja?


Sio hivyo mkuu, umeangalia first half? 45 minutes sikuona shot on target, wameamka baada ya kupigwa kidude. Na hii ilikuwa kidogo tu jamaa waondoke na pointi moja. Hii timu bado ugonjwa wa moyo kaka. Enzi zetu hawa tunatia 4 bila
 
Sio hivyo mkuu, umeangalia first half? 45 minutes sikuona shot on target, wameamka baada ya kupigwa kidude. Na hii ilikuwa kidogo tu jamaa waondoke na pointi moja. Hii timu bado ugonjwa wa moyo kaka. Enzi zetu hawa tunatia 4 bila
Mi naona Laliga msimu huu hatuna chetu tena. Tukomae na UEFA tu. We unasemaje?
 
Mi naona Laliga msimu huu hatuna chetu tena. Tukomae na UEFA tu. We unasemaje?


Bado sana mkuu, tuna mechi kumi na moja kumaliza la liga, japo tunasuasua, lakini tuache tu namba ziongee. Na huko kwenye UEFA next game ndio inaweza kuonyesha tuko vipi kwenye mashindano, maana Atalanta nao wako vizuri.
 
Tunataka kuona magoli mawili zaidi to secure the game and be intertained. Huyu Vinincius angekuwa na finishing touch angekuwa mtamu sana. Sema huyu hawezi kubadilika tena huyu.
 
Tunataka kuona magoli mawili zaidi to secure the game and be intertained. Huyu Vinincius angekuwa na finishing touch angekuwa mtamu sana. Sema huyu hawezi kubadilika tena huyu.
Huyu dogo sijui kwanini ana endelea kuwa hapo
 
Tusubiri draw ipangwe.....
Zamani club nyingi ziliogopa kupangwa na Madrid ila zama izi kama vile kila club inataka kupangwa na madrid.
Zama zinabadilika vijana wetu walio kwenye mikopo( LOANEE) wameshaiva warudi mwisho wa msimu.
Utabiri wangu nahisi timu za spain kukutanishwa hatua ya robo fainali zenyewe kwa zenyewe.
 
Timu ya Spain inayosonga mbele ni Madrid tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…