Hii team gereji timu shamba inakatisha tamaa..nafikiri ni muda sasa tupasue kibubu tufanye usajili kila siku nasema ramos na varane wasicheze pamoja miguu inawasaliti.
Sub alizofanya zizou game ya jana na villareal hazikufanya madhara yyt ila wenzetu vilareall sub zao zikazaa goli. Dogo vinuscius sijui hana macho miguuni kwako. Jana alikuwa na the worst performance