Zizu nmemnyooshea mikono jinsi alivyo panga kikosi jana 4-3-3 ya ajabu ajabu bado tukapata matokeo positive
Ni kweli jamaa,kila gemu tunayokuwa nayo wasiwasi,anatu prove wrong,hata hyo ya kesho kutwa anakuja na game plan nyingine kabisa,hala madridMsimu huu pekee Zizou ashapiga 34 different line-ups. Ni unpredictable kwenye hili swala la kupanga timu. Jana watu walikuwa wanalia kwanini Vinincius Jr yuko benchi, kwanini kamtoa Valverde badala ya Modric. But he knows we have Manchester City to deal with.
Hii timu ndio ileile ya Lopetegui na Santiago Solari iliyokuwa inapigwa bao kwasababu ya weak defense and no game plan, lakini Zidane akichukua na kuifanya iwe timu bora kabisa kwenye eneo la ulinzi.
Halafu uje hapa uniambie mafanikio aliyoyapata Zidane huko nyuma ilikuwa ni bahati tu.
Jana nlivyo tazama lineup nikawaza tuna lose au draw siku amini kama tuta shinda.Msimu huu pekee Zizou ashapiga 34 different line-ups. Ni unpredictable kwenye hili swala la kupanga timu. Jana watu walikuwa wanalia kwanini Vinincius Jr yuko benchi, kwanini kamtoa Valverde badala ya Modric. But he knows we have Manchester City to deal with.
Jana nlivyo tazama lineup nikawaza tuna lose au draw siku amini kama tuta shinda.
Kitu kingine Benzema anapambana sana katubeba msimu huu anastahili heshima yake
Kwa mtu anaelewa mpira atampa Benzema heshima ya kutosha. He is so underrated. Alafu uzuri wa jamaa hana maneno.Jana nlivyo tazama lineup nikawaza tuna lose au draw siku amini kama tuta shinda.
Kitu kingine Benzema anapambana sana katubeba msimu huu anastahili heshima yake
Sure, jamaa yupo loyal sana hana kujimwambafyKwa mtu anaelewa mpira atampa Benzema heshima ya kutosha. He is so underrated. Alafu uzuri wa jamaa hana maneno.
Wakati Real Madrid tunahitaji ushindi tubebe ndoo, Villareal wanahitaji ushindi kuingia top four ya kucheza UEFA mwakani. Leo kazi ipo!!
Leo ndio fainali ya la liga. But always Zidane doesn't disappoint us on the final games. Leo nawe kufa maana moyo unaenda kasi kuliko kawaida.
Tunashinda mkuu,iwe jua au mvua,master plan upara zizou atafanya yakeMie sina matumaini kivile na ushindi leo. Naombea tutoe sare basi, tukamalizie mechi ya mwisho
Mechi ngumu hua Imani inaongezeka kwa upande wangu. Hua tunaenda tumejiandaa kweli kweliLeo ndio fainali ya la liga. But always Zidane doesn't disappoint us on the final games. Leo nawe kufa maana moyo unaenda kasi kuliko kawaida.
Tensio leo ni kubwa..inahitaji utulivu sanaMechi ngumu hua Imani inaongezeka kwa upande wangu. Hua tunaenda tumejiandaa kweli kweli
Pole mshabiki wa Barca jikazewe mzee sio kwa ubayaaa...!!Baada Ya Mapumziko Ya Corona!!
Ikabidi Niangalie Hatua kwa Hatua Kila Mechi kupitia Television Laliga Fixtures..
Pamoja na Uwepo VAR Maamuzi ya Jopo la Maamuzi yanasikitisha sana na Kutia Kinyaa..Why Barca & Realmadrid..
Timu shiriki kama Takataka WTF!!
Is Laliga Corrupt...??
Answer -YES.
Ligi ya kichoko Laliga...Kisenge!!
Yaheri Kutazama Failed Seria A-..kuliko La liga.
Laliga Corrupt/
Laliga Racists/
Barcelona & Real Madrid = Corrupt Laliga.Pole mshabiki wa Barca jikazewe mzee sio kwa ubayaaa...!!Mwaka huu nao mnatoka kapaaaa...
Umechanganyikiwa mpaka unaongea utopoloooo...!!Ovyo Aslay.
Aslay-Mchepuko=Nikki Mbishi Mchepuko
Aslay-Moyo Kibri= Alicom-Moyo.
BASATA/COSOTA COPYRIGHT!!!
BASATA/Cosota Mnagawana Ruzuku & kuku kwa Mrija WTF....
WAJINGA NYINYI
Mpo mpo Utadhani mnatoka Jeshi la Wafu.Barcelona & Real Madrid = Corrupt Laliga.
Umechanganyikiwa mpaka unaongea utopoloooo...!!
Ovyo Aslay.
Aslay-Mchepuko=Nikki Mbishi Mchepuko
Aslay-Moyo Kibri= Alicom-Moyo.
BASATA/COSOTA COPYRIGHT!!!
BASATA/Cosota Mnagawana Ruzuku & kuku kwa Mrija WTF....
WAJINGA NYINYI
Mpo mpo Utadhani mnatoka Jeshi la Wafu.Barcelona & Real Madrid = Corrupt Laliga.