Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii timu ndio ileile ya Lopetegui na Santiago Solari iliyokuwa inapigwa bao kwasababu ya weak defense and no game plan, lakini Zidane akichukua na kuifanya iwe timu bora kabisa kwenye eneo la ulinzi.
Halafu uje hapa uniambie mafanikio aliyoyapata Zidane huko nyuma ilikuwa ni bahati tu.
 
Zizou ni habari nyingine. Mzee ana mbinu za kutosha. Wengi wanaomuengea vibaya ni maumivu tu yanawasumbua.
 
Zizu nmemnyooshea mikono jinsi alivyo panga kikosi jana 4-3-3 ya ajabu ajabu bado tukapata matokeo positive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…