Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Hana jambo la maana la kusema zaidi ya kuomba tu Zidane afail, watu wa hivi ni unakuta anaumia kisa mafanikio ya mtu, sasa safari hii wajiandae kulazwa kabisa sababu Zidane ndio kwanza ameanza awamu ya pili.
#HalaMadrid!!
Nataka msipeane matumaini hewa..... Bila major signing ya striker pale mbele hamuendi kokote!!Aya unatakaje kwa mfano
Nataka msipeane matumaini hewa..... Bila major signing ya striker pale mbele hamuendi kokote!!
Zidane mnampa heshima hewa..... Valverde na Mwamba wa goli ndio kawapa kombe sio zidane. He's a mediocre coach aliyebebwa na nyota ya Ronaldo.
Ntarudi humu May baada ya kuwa mmemtimua
Akili za kuambiwa hizi, sasa tunasubir zakoMumpige Liver kwa forward gani?? Toka Ronaldo asepe mmekua wa kawaida sana alikua anawabeba mnoo. kiufupi UEFA mtaisikia kwenye bomba, tutarudi hapa April kukumbushana.
The MVPNataka msipeane matumaini hewa..... Bila major signing ya striker pale mbele hamuendi kokote!!
Zidane mnampa heshima hewa..... Valverde na Mwamba wa goli ndio kawapa kombe sio zidane. He's a mediocre coach aliyebebwa na nyota ya Ronaldo.
Ntarudi humu May baada ya kuwa mmemtimua
Nataka msipeane matumaini hewa..... Bila major signing ya striker pale mbele hamuendi kokote!!
Zidane mnampa heshima hewa..... Valverde na Mwamba wa goli ndio kawapa kombe sio zidane. He's a mediocre coach aliyebebwa na nyota ya Ronaldo.
Ntarudi humu May baada ya kuwa mmemtimua
Kama mpaka sasa hujaona utofauti wa Madrid ya 2018/19 na ya 2019/20 basi utakuwa unaongelea ushabiki mkuu @HalaMadrista SpainSuperCup 2019/20Mlikua na Ronaldo mkuu..... Sahvi mko wenyewe hivi vitoto kina rodrygo na vinicius ndio wakumfunga liver?
Hyo shughuli kidogo atletico wataiweza maana watapaki basi na kutegea counter..... Ila kwa hii madrid ya mariano na Jovic sioni mkifika hata robo fainali
Mbongo ngumu kushindwa ubishi alichukua ligi mtasema UCL ndio kipimo na pia alichukua UCL mtasema ligi ndio kipimo,HII NDO TANZANIAAAMkuu bado critics wa zidane wapo sawa.... Supercup sio major trophy ni kma community shield tu. Pia Madrid kaingia kwa wildcard sio merit.
La liga,spanish cup na UCL ndio kipimo cha zidane sio hili bonanza la uarabuni
Nataka msipeane matumaini hewa..... Bila major signing ya striker pale mbele hamuendi kokote!!
Zidane mnampa heshima hewa..... Valverde na Mwamba wa goli ndio kawapa kombe sio zidane. He's a mediocre coach aliyebebwa na nyota ya Ronaldo.
Ntarudi humu May baada ya kuwa mmemtimua
Nataka msipeane matumaini hewa..... Bila major signing ya striker pale mbele hamuendi kokote!!
Zidane mnampa heshima hewa..... Valverde na Mwamba wa goli ndio kawapa kombe sio zidane. He's a mediocre coach aliyebebwa na nyota ya Ronaldo.
Ntarudi humu May baada ya kuwa mmemtimua