Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sasa wakati huo ninyi Liverpool hamkuwa na mvuto...

Hata sammata angetakiwa na nini lazima angekataa tu
 
Mkuu, Atletico sio rahisi kunyanyua hiyo ndoo, Barca ana nafasi kubwa mno.
 
Mkuu, Atletico sio rahisi kunyanyua hiyo ndoo, Barca ana nafasi kubwa mno.
Nope..jamaa ypo right, atletico wanabeba this time.
Wapenzi wa barca hawalioni hili ila team yao tia maji tia maji ,ndani ya game 10 wataanza kuona
 
Sijawahi kuchoka kusikiliza Madini yako mkuu.
 
Amemlaani huyu jamaa anatobolewa kinoma ,wakati alikuwa stopper mzuri sana
 
Zidane atasingizia usajili.
Ila ukweli timu mbovu sana huyu kipa anatakiwa atolewe mkopo. Navas hakutakiwa Uzwa
Usajiri sikatumia £250m+? Kamleta Ferland Mendy ,naona kabisa bora Marcelo mzee
 
Jana Barca na Atletico walishindwa kupata ushindi, sasa mshindwe wenyewe leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…