Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hamna mpira usio na changamoto. Ndio mana kuna kukaba na kushambulia.

Leo wanacheza vizuri, kilichinifurahisha zaidi ni namna wanakaba baada ya kupoteza.

Issue ni kama wataweza duplicate performance kama hii mechi zijazo.

Good game for confidence building
Mimi leo nimeona hatujacheza vizuri sijui kwa nini ..yaani ata hizi goli tatu basi tuu kwa vile ni levante ..ila tukipata timu nzuri yenye ushindani tutapata changamoto mno
 
Timu imecheza vzr,changamoto nimeiona upande wa beki ya pembeni Marcelo na carval,wanashambulia vzr tatizo linakuja tunaposhambiliwa,
 
Rubbish
 
Watu watashangaa display itakayowekwa na Real Madrid leo. Ile timu imejaa talents, sioni sababu ya kuibeza.
 
Official Real Madrid XI vs PSG: Courtois; Carvajal, Varane, Militão, Mendy; Casemiro, Kroos, James; Bale, Benzema Hazard.
 
Real Madrid Bench:

• Areola
• Vazquez
• Jovic
• Odriozola
• Vinicius Jr
• Rodrygo
• De La Fuente
 
Real Madrid to wear black armbands against PSG to honour Spain flood victims.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…