Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tunajua Fika Kuwa Madrid nyote Mulielekeza Sala Zenu Kwa Roma Kuwa lazima Apite Yeye ili Mumuepuke Liverpool Musikutane Naye Fainali Mukiamini Kuwa Alichofanywa Barcelona Ndiyo atakachofanywa Liverpool huku mukisahau Liverpool sio Barcelona.

Lakini Roma kashindwa Kazi na Liverpool anakuja Mutafanyaje sasa?
Najua Hamkupenda Mukutane naye na ndiyomana mukamlilia Roma apite.

Musisahau tu Kuwa Liverpool Kamtoa Mbabe Wa Mbabe Wenu Ambaye Amewakanyaga Ligi Nzima Hapo na Anakwenda Kubeba Kombe Bila Ya Kupoteza Mchezo Hata Mmoja.

Sasa Kama Nimemfunga Mbabe Wa Mbabe Wenu Basi Nyinyi Jiandaeni Kisaikolojia Kujipiga Ban wenyewe Katika Huu Uzi Wenu.
 
Mbona kapoteza jana
 


Mkuu una kipaji cha kuchekesha sana. Wenzio wakina Joti wanalipwa wewe unafanya bure Jamii Forums!
 
Jumla ya goli anazo pigwa Roma katika mechi mbili ndo atakazo pigwa Madrid usiku ule !!!
Mala ooh River toka anze ajawah kufungwa ,mala ooh river ndotimu yenye magoli mengi! Naona sasa mtakutana na zaidi ya yaliyomkuta Asernal 2002 maana alifika final ajawai kufungwa watu wakajua anabeba ndoo matokeo yake akashushiwa kipigo kizito sasa na nyie jiandae walau Jana msingepewa mkongoto ningewaelewa kidogo lkn mnaingia final kwa goli 7-6 !!Skuiyo ndomtajua walioichagua Madrid kuwa timu ya karne hawakukosea.
 
Unachekesha kweli yan River ifichwe na Man U ndo mjekumdindishia Madrid mbabe wa wababe! Mkijitaid saaana mtapata kichapo alichpokea final juve na akiwa katika ubora wake.
 
: In 1981 Liverpool were European Champions and the Pope died
2005 Liverpool were crowned Champions of Europe and the Pope died,‬: Its up to Real Madrid to save the life of the current Pope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…