Msimu huu, kipindi cha pili game yetu inapungua kasi halafu tushalambwa mbili na namuona Carvajal anakula Red anytime. Zidane anatakiwa atumie maneno ya maana huko ndani. Bernabéu yote inasapoti
Dogo aliyechukua zamu ya El captain simlaumu, ila Bale hakuna kitu so far.. na goli la pili ni jepesi sana kufungwa kwa kipa kama Navas.. hili goli ni uzembe wake