Nimependa sana Vijana wetu wanavyocheza, wanapambana kweli kweli., ni mwamba wa goli tu umekuwa mhimili Mkuu kwa Atletico Leo, saa hiz ungekuta tunazungumza mambo mengine., hope jitihada za vijana wetu zitalipwa na goli kipnd cha pili...[HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]