Kama Zidane amempumzisha Kovacic kwenye hii game, uwezekano wa Modric kucheza second leg Vs PSG inawezekana ni mdogo sana, hope Toni atacheza Hiyo game., tunatakiwa tuwashike kwenye kiungo kweli kweli kama tunahitaji kusonga mbele
PSG fans wanawafanyia fujo wachezaji wetu Hotelini huko Paris. Inawezekana wakafanya hila hata kwenye stadium leo. Dawa yao leo ni kuwatandika wawe nje ya mashindano wapate adabu.