CR7 hata kuwepo ila uweoo wa Asensio mimi na iman kubwa sana tunaibuka na goli si chini ya tatu japo hawa waka catalunya wanataka oia kudemostrate kuhusu wafubgwa wao wataifanya hii match kama display na watataka washinde. Tutashinda na hakika kikosi kiko sawa na bale na asensio wana uwezo wa kufanya counter nzuri kama sehemu ya kati watazitegebeza hizo nafasi. We wi win hala madrid halla madridista.