Hakuna mwenye afadhali hata mmoja, team nzima kama wote wekumbwa na zimwi la kutojiamini, ninadhan na matokeo yanachangia, ulichangia na ugeni wa akina Theo mambo yanakuwa magum kidogo, Bado hawa vijana wanahitaji kukomaa kidogo., Kama Zidane atabaki msimu ujao watafaidikakuliko sasa.,