Bado mapema ngoja tuone kama mabadiliko yatakuwepo, huku pre season vijana hawataki majeraha ya mapema, tar 8 ndio tutaanza kuwaangalia kwa makini
Mimi mwenyewe sina imani na Benzema kabisa. Angekuwa mswahili ningeshamuhisi labda ana kizizi. Anazingua sana. Wakati timu inahitaji ushindi yeye huwa anapoteza nafasi za kufunga na unakuta anatoa tabasamu kuonyesha kuwa he don't care. Kwangu Mimi bora James na morata wangebaki hawa jamaa wawili ( Benzema na Bale) wangesepa tu.Bado mapema lakini don't expect anything from Benzema na huyu Bale hawezi kuchezea game 5 bila pancha. Forward nyingine zinafunga 30+ goals per season plus assists lakini wao wapo tu pale mbele wanakimbiakimbia mpaka mabeki au midfielders wafunge magoli. Ningependa kuona forward line inajituma sio wanaokaa kusubiri set pieces tu
Mimi mwenyewe sina imani na Benzema kabisa. Angekuwa mswahili ningeshamuhisi labda ana kizizi. Anazingua sana. Wakati timu inahitaji ushindi yeye huwa anapoteza nafasi za kufunga na unakuta anatoa tabasamu kuonyesha kuwa he don't care. Kwangu Mimi bora James na morata wangebaki hawa jamaa wawili ( Benzema na Bale) wangesepa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Ramos mpumbavu sana, Wenzake wanacheza mpira yeye kazi yake kukaa mkao kama Mbwa uwanjani
Hahahahahhahaha takataka za Galacticos
Messi sio mtu wa mchezomchezo Ramos amuulize Boateng kilichomkuta kabla ya kumfata soma Jersey namba ngapi mgongoni af umfuate kwa akili
Hahahahahhahaha takataka za Galacticos
Huo mpira wa Mournho wa kupaki basi mjiandae vizuri waulizeni Juve
Hahaha, kweli Man, sababu jamaa haonekani anachokifanya but still yupo tu tena sanaa, na ana uhakika wa namba, ni lazima ujiulize mara mbili mbili kuwa kijana ana nin cha ziada!!Mimi mwenyewe sina imani na Benzema kabisa. Angekuwa mswahili ningeshamuhisi labda ana kizizi. Anazingua sana. Wakati timu inahitaji ushindi yeye huwa anapoteza nafasi za kufunga na unakuta anatoa tabasamu kuonyesha kuwa he don't care. Kwangu Mimi bora James na morata wangebaki hawa jamaa wawili ( Benzema na Bale) wangesepa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Do we have any other game before 8th..??Off to Chicago.
Do we have any other game before 8th..??
Na hilo game mnagongwa tena......so ina kua Four Oclockvs MLS All stars on Wednesday. The last of friendlies before Supercups.