Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,706
- 6,373
Nimemiss hii kitu aisee, na nilipania sana kuona final training, ila hawa Tanesco walichokifanya wanajua wenyew!! hope watarudia hata baadae kidogo.Real Madrid on their way to the National Stadium of Wales for tonight's training session!➡ [HASHTAG]#APorLa12[/HASHTAG]
Ndio sifa yao kubwa, sasa wanasahau kuwa aina mchezo kama wa kwao tumeshakutana nayo sana, na bado tukavuka, na hii tutavuka tena pia!! [HASHTAG]#VamosReal[/HASHTAG]!!Juve hawana tofauti na Atletico mkuu, na Real wana uwezo wa kubadilika kila game mimi mbona sina wasiwasi nao.
Hao nao watakipiga kesho kuna mechi ya ma LegendaryReal Madrid Legends in Cardiff supporting the team.
Duuhh nimegundua wanakaa siti kutokana na nature ya utaifa au lugha wanayozungumza ....
Luka v bale walikuwa tote na wanaongea kingereza
Motara asensio na carvajal both are Spanish
Varane v benzema French
Pepe v coentrao Portuguese
Jinsi wakongwe walivyokutana na ku hug ni burdan pale karembeu huku salgado raul kule Carlos pembeni seedorf inaleta ladha flanTraining at the National Stadium of Wales. ¡VAMOS!
Ndio...na kimsingi madrid inaingia ikiwa underdog...isiyotegemewa kuchukua ubingwa....hii ni fainal....ni mechi yakutafuta matokeo zaidi..muhimu ni nidhamuNimepita kwenye mitandao huko, ninaona watu wengi wanawapa Juve nafasi, ila sababu zao zinafanana, kila mmoja anazungumzia defensive line ya Juve, lakini wanasahau kuwa wakati wao wanacheza sisi hatutakuwa tumesimama tukiwaangalia wanacheza, na vijana wetu watakuwa wanacheza pia, sasa ni kazi kwao kujuuliza tutakuwa tunacheza style gani, ninaamin uwezo wa vijana wetu wa kubadilika kutokana na mchezo, so ninaamin kesho usiku tutashangilia wote ushindi wa Real Madrid!! [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]!! [HASHTAG]#Aporladuodecima[/HASHTAG]!!
Ndio...na kimsingi madrid inaingia ikiwa underdog...isiyotegemewa kuchukua ubingwa....hii ni fainal....ni mechi yakutafuta matokeo zaidi..muhimu ni nidhamu
Hizi jezi zetu leo vipi hizi...maana huwa zina kagundu kalikojificha....ile leo nasikia harufu yakuweka record....