Ushabiki wa kitoto ndo huu,basi Barton ni bora kuliko Xavi kwa sababu amecheza Epl
Ronaldo ni goal machine ila kiuchezaj huwezi at tottal huwezi mlinganisha na Messi
All in all hongereni kwa kuwazaba wapinzani wenu,hongera cr7 kwa kuzidi kuonesha umahiri uliokomaa katika swala la kupasia nyavu