Wanacheza kwa ushirikiano sana kwa manufaa ya timu, lakini mafaza wanawaza front page za Marca kesho yake! Hata wakiwa na nafasi finyu wanabutua tu badala ya kutoa kwa mtu aliye kwenye nafasi!! Ila Benzi kanitoka, akipata clear chance tano anafunga moja, tena kwenye mazingira magumu mno!
zidana hana namna ingine ispo kuwa ku stick na hawa madog oat least wana jituma pia hawajachoka sana ni mwisho wa msimu huu ana faa ku take risk na vijana, yaan leo kanifurahisha