Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Is Zizou thinking of starting him on the wing against Bayern in place of Bale?
 
Wala hamna shida Mkuu, hawa ni wetu kabisa, vijana wanaonekana hapana presha kabisa, ninadhan wana enjoy kucheza mpira tu


Tunataka magoli kwanza, hizi ni point 3 muhimu. Wameweka deffenders 5 kwenye box, waliobaki 5 wote wako kama midfielders, I don't like this kind of games, wakitufunga goli jingine wanaweza kutuletea matatizo hawa.
 
Tunataka magoli kwanza, hizi ni point 3 muhimu. Wameweka deffenders 5 kwenye box, waliobaki 5 wote wako kama midfielders, I don't like this kind of games, wakitufunga goli jingine wanaweza kutuletea matatizo hawa.
Ni kweli Mkuu, ila jinsi ya vijana wetu wanavyocheza ninaona kuna goli kabisa. Tatizo limekuwa kwa Vasquez tu bado anachelewa kuingia kwnye box la adui, ninadhan Zidane atawapanga poa kipnd hiki cha pili.
 
Duu!! Morata amekosa sehemu ya kugusa kidogo tuu!!
Alaf sisi tunakuja kulia tena huku!!
 
Mambo yanabadilika ndani ya sekunde kadhaa!!
Ila hawa marefa na wao ni shida sana, yaani jamaa wametunyima kona, sasa sijaelewa kuwa wameona Nacho ndio ameutoa ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…