Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

mtapachimba na forward gani? eti katika huu mwaka jana Ronaldo ndiyo kacheza vizuri! Napoli forward zao zinafunga balaa.
Wakati mnakula 4 mtungi nyie mnahisi mna forward zilikua kwenye palizi nini Mkuu?
 
tatizo letu halikuwa forwards bali tactics. ila naona mtaimarika kidogo baada ya Bale kurudi.
Madrid imekuwa tofauti sana kulinganisha kipindi cha nyuma nw dayz sio tegemezi kwamba asipokuwepo mtu fulani eti tunapwaya japokuwa kurudi kwa bale kutaongeza kitu zaidi

Angalia majeruhi yalivyotuandama tangu mwanzo wa msimu lkn Madrid wamekuwa na matokeo mazuri kuliko timu zingine ukijumuisha na wazee wa 4G kutoka Catalonia
 
tatizo letu halikuwa forwards bali tactics. ila naona mtaimarika kidogo baada ya Bale kurudi.
Madrid imekuwa tofauti sana kulinganisha kipindi cha nyuma nw dayz sio tegemezi kwamba asipokuwepo mtu fulani eti tunapwaya japokuwa kurudi kwa bale kutaongeza kitu zaidi

Angalia majeruhi yalivyotuandama tangu mwanzo wa msimu lkn Madrid wamekuwa na matokeo mazuri kuliko timu zingine ukijumuisha na wazee wa 4G kutoka Catalonia
 
According to Marca, Nacho was subbed as a precaution, but it's nothing serious and hopes to be fine for Wednesday's game.
 
AS: After 88 days.... GARETH BALE! Subbed on at the 71th min & scored a GOLAZO in the 83rd.

Zidane, "There's none like him, He's special!"

 
KROOS YESTERDAY

• 115 Touches
• 88/95 Passes [92.6%]
• 10 Crosses
• 3 Key Passes
• 3 Interceptions
• 1 Clearance
• 1 Tackle
• 1 Shot
• 1 Dribble

Genius display once again!


 
Zizou's Post-Match Presser:

“The players are happy to be able to help the team when they get their chance, that's the most important thing."

Bale
“I'm happy to have him back. He was eager to get back playing again. When he came on, I told him to go out and enjoy himself, that was all I said."

"He’s a special player, he’s different from the rest.He's very powerful, he makes the difference and that's why he's special. I'm happy to have the front three available because we know what they can offer."

Cristiano
"We know about him because he always scores. Every time he doesn’t score people pick up on it, but he doesn’t look anxious to me."

"For me, he was just like in the match against Napoli, he’s run a lot and worked for others. I'm not worried, I know he's going to be the difference at a key moment".

Isco
"He is happy and committed to what he’s doing. He has had a great game today and has given the two assists for the goals. I’m just thinking about what the team is doing right now".

Goal scoring streak
"It was difficult to get both goals. We attacked for the whole game but we didn’t get the second goal to give us some breathing space."

"We were patient in the game and that's what's important. I like to mix patience with a touch of speed. We must carry on like this to continue our scoring streak".

 
With yesterday's win Gareth Bale now has 100 wins with with the whites in all comps.

140 matches:
2 Champions Leagues
2 Club World Cups
2 European Super Cups
1 Copa del Rey

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…