Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
With two game in hand, I feel so good. Next game away at Mestalla!
We're headed into that game with our form and confidence back. Really looking forward to it.
Wakati mnakula 4 mtungi nyie mnahisi mna forward zilikua kwenye palizi nini Mkuu?mtapachimba na forward gani? eti katika huu mwaka jana Ronaldo ndiyo kacheza vizuri! Napoli forward zao zinafunga balaa.
tatizo letu halikuwa forwards bali tactics. ila naona mtaimarika kidogo baada ya Bale kurudi.Wakati mnakula 4 mtungi nyie mnahisi mna forward zilikua kwenye palizi nini Mkuu?
Madrid imekuwa tofauti sana kulinganisha kipindi cha nyuma nw dayz sio tegemezi kwamba asipokuwepo mtu fulani eti tunapwaya japokuwa kurudi kwa bale kutaongeza kitu zaiditatizo letu halikuwa forwards bali tactics. ila naona mtaimarika kidogo baada ya Bale kurudi.
Madrid imekuwa tofauti sana kulinganisha kipindi cha nyuma nw dayz sio tegemezi kwamba asipokuwepo mtu fulani eti tunapwaya japokuwa kurudi kwa bale kutaongeza kitu zaiditatizo letu halikuwa forwards bali tactics. ila naona mtaimarika kidogo baada ya Bale kurudi.
To the final. Copa Del Rey.