James akicheza kama no 10 hua anafanya vizur sana, sababu katika nafasi hiyo anaweza akashoot au akatoa assist, Zidane aliona matunda yake alipomchezesha nafasi hiyo dhidi ya Espanyol!! Pia uwepo wa Morata uwanjan utamsaidia zaidi, sababu Morata hua anapenda kurudi kuchukua mipira kweny midfield!! Ingependeza sana kama formation itakuwa hivyo hiyo baadae!!