Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Game Iko tafu sana,tukifanya mistake watatufunga hawa sporting so far wamejitahid sana


Yaani Pale nyuma wameweka watu kama saba au nane. Sisi tuna Casemiro mmoja wao wanao kama wanne hivi. Hawana haraka, wanashambulia wakipata nafasi tu. Wakitupiga counter attack game inaweza kuwa ngumu zaidi.
 
Me kwa kwel mtanisamehe....huyu kiko siyo kipa aisee hapa tulikurupuka.....kuna makosa ya beki ambayo kipa unaweza zuia...huyu kwa kwel ni shuka tuko nalo
 
sasa ndio madrid iko nyuma kwa goli moja hawa wareno si wakujaribiwa hata kidogo
 
Sporting are looking confident after their opening goal. They are dangerous in attack.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…