Ramadhani Juma Abdallah
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 390
- 230
Man city ipi hiyo wakati kesho wanaagaDuh, man city simwamini sana... Bora wangekutana na bayan au madrid mapema!!
Man city ipi hiyo wakati kesho wanaagaDuh, man city simwamini sana... Bora wangekutana na bayan au madrid mapema!!
Sawa mkuu itabidi nifanye hivyoSubiria tu mechi za njombe mji
wewe si mshabiki wa Madrid, mashabiki wa madrid hawapo hivyo wewe ni dhahiri mshabiki wa Gayleonajapo mm ni shabiki wa madrid lakini hii game naona dhahiri hatuchomoki, sanasana tutaambuliwa droo.
Ukishauziwa fixed match na matapeli wa kiarabu ndyo unakuja kudanganya watu subiri kipigoAnashinda 2-1/3-2
Kwa ufupi kombe litakwenda uengereza...Mkuu kwa Bayern au Madrid katika hatua ya nusu fainali Barcelona anaweza kuwapiga hao. Ila Man City si anajua anajitengenezea historia kwa iyo lazima akomae kuwatoa vigongo hasa Barca. Na ndio maana nasema inaweza ikawa rahisi kwa Man City kuliko hao.
Hahaa.. Mkuu mimi nipo radhi niweke pesa. Kombe linarudi spain tena.Kwa ufupi kombe litakwenda uengereza...
Hapo kwenye kuweka mzingo mzee ndio mtihani... Si kwavyuma hivi... Ila Sirius uje unitafite mana nimekwambia kweli..Hahaa.. Mkuu mimi nipo radhi niweke pesa. Kombe linarudi spain tena.
Hahahaaa... Mkuu tutafutane. Utaniambia mwenyeweHapo kwenye kuweka mzingo mzee ndio mtihani... Si kwavyuma hivi... Ila Sirius uje unitafite mana nimekwambia kweli..
Ukipata jibu usisite kunipa kunitonya nami niuchekiNawezaji kustream hii mech Online...
Msaada tafadhar
Daaah, Chama Langu hilo
Buffon
De Sciglio , Barzagli, chielini, Sandro ,
Khedira, Marchisio or Bentancur , Matuid
Dyabala, Higuain, Costa
Nenda google "firstrow stream"...hawa ndio nawatumia ila uwe na pc...Nawezaji kustream hii mech Online...
Msaada tafadhar