Real Madrid come back vs Arsenal

BONNIE GOLD

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2021
Posts
469
Reaction score
944
Wameshinda lakini hawana furaha. Tafsiri ya kauli hii ipo mioyoni mwa mashabiki wa Arsenal.

Wakati tunajiandaa na come back kabambe dhidi ya Hawa watoto (Arsenal), nawatembeza chini ya barabara nyembamba ya kumbu kumbu, ili Hawa vijana wa Arsenal wajue ni dudu gani wanaenda kukutana nalo hapo Spain. Hizi hapa comebacks baadhi

1. Real vs City 2022
First leg City 4-3 Real, Etihad
Second Leg, Bernabeu
Mpaka dakika ya 90 City anaongoza moja bila, aggregate City 5-3 Real. Full time Real 6-5 City

2. 1. Real vs PSG 21/22 UCL,
First leg at Parc Des Princes, PSG 1-0 Real.
Wanakuja Bernabea second leg, dkk ya 40 Mbappe anaweka chuma ya pili. Aggregate PSG 2-0 Mardid baada ya kipindi cha kwanza.

Game iliisha Mardid 3-1 PSG.

3. Real vs Bayern, 2024
First leg Real 2-2 Bayern Ujerumani

Second Leg, Mardid.
Mpaka dakika ya Mpaka dakika ya 88, Bayern anaongoza moja bila, aggregate inasomeka Real 2-3 Bayer.

Full time Real 2-1 Bay, Agg 4-3

4. Real vs Wolfsburg
First leg German
Wolf 2-0 Real

2nd leg Spain
Real 3-0 Wolf

5. Vs Juventus 2018
First leg Italia
Juve 3-1 Mardid

Second Leg Spain
Madrid 3-0 Juve

Aggregate Mardid 4-3 Juventus. Hii Juventus ya watu haswa.

With closed roof, kelele mara 5 ya zile za Anfield, Arse8 hawatoamini wamepigwa na kitu gani
 
Mhiii
 
Tunashabikia mno timu za wazungu.
Tunalisahau Taifa letu linaangamia.
Hata wao hawashabikii kama sisi.
Kenya huwa wanajinyonga kisa Arsenal.

Mungu atuepushe na Upumbavu.
E Baba fungua akili zetu Vijana wa Kitanzania , Tuamke kwenye huu ugonjwa mkubwa.
 
Kuna var
 
Hiyo game ya juve umeingiza watu chaka.

UEFA 2017/18

Quarter Final first leg

Juventus 0-3 Real madrid

Second leg

Real madrid 1-3 Juventus

Goli la madrid anafunga Ronaldo penalty dakika za jioni, kitu kilikua kinaenda extra.


Tukirudi kwenye mada, Watu mnapenda sana kukariri, Japo ninatamani Arsenal atolewe, Kwa hii Madrid ni ngumu sana kushinda kwa tofauti ya goli 3 mbele ya Arsenal.

Ukiacha safu ya ushambuliaji, Madrid mid yao ipo disjointed sana, kule nyuma napo hawapo solid kiviile sasa sioni ni namna gani watajibu hayo magoli.
 
Real Madrid wanaenda kunyanyaswa tena kesho kwenye uwanja wao na hamtaamini.

 
Wengi wanaangalia hii mechi kishabiki. Arteta akiapply Dark Art kwenye hii game, Madrid anaweza asipate goli hata moja.
 
We mwana simba una matatizo gani?.
 
Muosha nayeye huoshwa. Unadhan arsenal.wanaenda kama.hawajui..? Ubaya madrid akipanda sana vijana wa arteta watamuongezea goli kwa haraka sana. Aisee hii game nahamu nayo na ni kesho tu
 
Maneno maneno ya nini, si kesho tu... kwanini tuongee sana. Ni either utaona aibu kwa post yako hii au kufurahia. Ni hayo mawili tu yatatokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…