I don't have to hide, but he has never asked!
Ila I have his ATM pword sababu akisafiri na alikuwa na malipo fulani ilibidi aniachie,
Also we have a joint acct,
Ila email zangu za ofisini kwakweli simpi pword,bcoz its unethical, likewise sigusi zake, japo anaweza kuziona zikiingia kwenye haya ma bb