JAYJAY
Today 13:33
wewe uliyeanzisha hii thread nakushukuru sana kwa hii thread yako kunikumbusha kuwa na mimi ninatimiza miaka kadhaa leo hii, akhsante sana! bila hivyo ingenipita hivi hivi maana nilishasahau!
Today 07/10 ni birth day ya Mkuu wa Kaya Mhe. Dk. J.K. MRISHO. Baba hongera kwa kufikisha miaka 61. Akuongezee mingine nusu ya hiyo, ikiwa zaidi ni mateso. Hongera sana Mhe. tupo na wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.