Aisee siwapigii debe hao UHAI lakini ukiangalia usalama kwa mlaji wakati ya kuandaa ukilanganisha na makampuni mengine naweza kusema UHAI is best water, nimeshawahi kutembelea kiwanda ya maji ya Ndanda springs nikajionea jinsi wanvyozalisha, yaani cjui hawa tbs na watu wa afya wako wapii. Mazingira machafu kama nn,yaani wana bahati tu kuwa maji wanayotymia ni bora sana, na pia yule mzungu ABBEY aliimarisha brand kwa kusini
Nayajua yale ya Lulindi nq Ndanda,but ni mazur,ila Ndanda kwa wasq hayaendi sana Lindi,sijui kwanini?Kwa kweli soko la maji kwa sasa ni gumu sana kutokana na nature ya hii ptoduct, kwa mfano mikoa miwili tu ya lindi na mtwara kuna viwanda vitano vya kutengeneza maji, bado mengine yanayotoka nje ya mikoa hii, ki ukweli marketers wa hii product wanatakiwa kuijenga brand ya poroduct zao, maana majina ndo yanuza sana kuliko ubora wa hizo product, ukizingatia ni vigumu sana kwa consumers kuweza kutofautisha ladha ya maji
Kukoje mkuu?Hayo ya ndanda ushawahi kufika kule kwenye Tanki lao, kule karibu na kota? Unaweza usiyanywe
Wanabodi,
Hii re branding waliofanya kampuni ya maji ya kunywa ya chupa ya UHAI nimeikubali, kuanzia packaging design hadi labbelling, kwa sasa angalau hii brand inaweza kuvuka mipaka.
Ila na Iringa kuna maji yanaitwa Maji Africa yanafanya vizuri kwa maeneo hayo ya Iringa na wilaya zakeMbeya,Iringa, Tabora yamejaa pia...naona wanataka wakamate soko la kati na nyanda za juu... siku hizi kila mtu anataka auze maji
Deo carleone si lazima yafike Namtumbo, kwenye marketing strategies si lazima uhudumie the whole population, kuna vitu kama market segmentation, niche marketing ni bora ukahudumia pale unapofanya vizuri, mfano maji ya kilimanjaro pamoja na ubora wake wote lakini mikoa ya kusini ni aghalabu kuyakuta
Ila na Iringa kuna maji yanaitwa Maji Africa yanafanya vizuri kwa maeneo hayo ya Iringa na wilaya zake
Wanabodi,
Hii re branding waliofanya kampuni ya maji ya kunywa ya chupa ya UHAI nimeikubali, kuanzia packaging design hadi labbelling, kwa sasa angalau hii brand inaweza kuvuka mipaka.
Mkuuu...hayo maji si mazurii....angalia kiwango cha PH utajutaa....PH inayotakiwa ni 7.0 lakini ya haya maji unayo yasifia hyo PH yake ni balaa...angalia mwenyewe...si ajabu watu wanasema yana chumvi.
Wanabodi,
Hii re branding waliofanya kampuni ya maji ya kunywa ya chupa ya UHAI nimeikubali, kuanzia packaging design hadi labbelling, kwa sasa angalau hii brand inaweza kuvuka mipaka.
Sio mtaalamu ila mpaka imeandikwa hapo kwenye chupa na TBS wameruhusu maana yake kuna kiwango ambacho kinavumilika just in case itatokea teknolojia inayotumika ku-purify maji haiwezi kurudisha hayo maji mpaka P.H. 7.0, sidhani kama hiyo 0.9 PH unaweza uka-notice changes ya ladha. Embu tiririkeni wataalamu wa water quality assessment maana nyie ndo mnajua kiwango vumilivu cha contents za minerals katika maji au yanakuwa kama yale ya Dodoma ambayo kama ni mgeni unakunja suramaji bora p.h 7.9 ...?
wengi tunatumia bidhaa bila kufuatilia vitu vya mmsingi, bora ninywe yale ya zamani ila sihaya mnayosema mapya,
maji ni more alkaline hayakati kiu, utakunywa na kunywa bila kukata kiu,