Re: Anatafutwa architect

Re: Anatafutwa architect

darling-tone

Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
60
Reaction score
11
Weekend aje aje?
Je wewe ni msanifu majengo? mimi ni mtanzania wa kawaida (wa kima cha kati ) ambae ningependa kupata ushauri kuhusu ujenzi pamoja na ramani ya kibanda kama tukielewana.

Kama wewe ni wa fani hiyo kutoka chuo cha Ardhi ninaomba tuwasiliane kwa inbox.

Ahsante.
 
mcheki huyu anaitwa yakub 0714 139295.

ila pia ukisha pata architectural drawings ina bidi umpate service engineer ambae ata design umeme na issue za mabomba ya maji safi na maji taka.wengi hua wana sahau matokeo yake wana anza kutoboa toboa mabomba ya maji machafu yanakua exposed.kama ukilifanya hili mapema huto ona mabomba ya maji machafu yakionekana.

pia kwenye masuala ya umeme mtu ana mpa tu fundi bila kufanya design.matokeo yake fundi ana weka kila ana cho jiskia.atakuwekea socket moja jikoni labda mahitaji yako ni tatu.ukiwa na service engineer atakupa mchoro na atakueleza na kama una hitaji mengine yatawekwa kwenye mchoro kabla kazi huja anza.na hata utaweza kujia cost ya mradi mzima.na pia utaweza kuchagua aina ya taa kuipendeza nyumba yako.kwa issue hizo za service contact 0713336998. au email medyonline@yahoo.com





Weekend aje aje?
Je wewe ni msanifu majengo? mimi ni mtanzania wa kawaida (wa kima cha kati ) ambae ningependa kupata ushauri kuhusu ujenzi pamoja na ramani ya kibanda kama tukielewana.

Kama wewe ni wa fani hiyo kutoka chuo cha Ardhi ninaomba tuwasiliane kwa inbox.

Ahsante.
 
Unamaana gani alietoka chuo..??! unataka umnyonye nani hapa..?! andaa millioni 10 then nitafute.., Ebo!
 
Mtafute huyu jamaa anaitwa William 0713991699. Tupo fair na creative.
 
Mie ni mtundu wa mambo ya Umeme,tutafutane 0718-302132
 
0717 498 749 mpigie uyu ni Architect mzuri na pia hapo hapo kuna Structural engineer na Quantity Surveyor kwa beams and BOQ
 
Back
Top Bottom