darling-tone
Member
- Apr 24, 2013
- 60
- 11
Weekend aje aje?
Je wewe ni msanifu majengo? mimi ni mtanzania wa kawaida (wa kima cha kati ) ambae ningependa kupata ushauri kuhusu ujenzi pamoja na ramani ya kibanda kama tukielewana.
Kama wewe ni wa fani hiyo kutoka chuo cha Ardhi ninaomba tuwasiliane kwa inbox.
Ahsante.
Je wewe ni msanifu majengo? mimi ni mtanzania wa kawaida (wa kima cha kati ) ambae ningependa kupata ushauri kuhusu ujenzi pamoja na ramani ya kibanda kama tukielewana.
Kama wewe ni wa fani hiyo kutoka chuo cha Ardhi ninaomba tuwasiliane kwa inbox.
Ahsante.