RCs wanalipwa kiasi gani?

RCs wanalipwa kiasi gani?

Kijana tunalipwa milioni 12 ukiunganisha na marupurupu mengine! Kwani ulikuwa unataka tulipwe kiasi gani?
 
Kwa mkuu wa mkoa hulipwa sh. Million 6 kabla ya kodi.. pia nyumba wanazoishi za serikali hulipiwa utilities zote (maji, umeme)..

Wakuu wa wilaya hulipwa million 3 kwa mwezi kabla ya kodi
Ndo maana naamini viongozi wote wakipunguziwa japo robo mshahara itakua poa. Hii ni kwa wote wa serikali mahakama na bunge. Kama wataona pesa ni ndogo bac huku nje kuna watu wanaoweza kuishi kwa nusu ya mishahara hiyo na wakafanya kazi kwa uadilifu na uaminifu.
 
Habari!

Naomba kuuliza Mkuu wa mkoa au Wakuu wa mikoa wanalipwa Tsh. ngapi?

Karibu!
Kwani ukijua itakusaidia nini kwenye Maisha yako ukijua wanalipwa shilingi ngapi?
Au unatafuta namna ya kumbana mumewe akupe mshahara wote, maana kuna Wengine mnaishi kama Mashetani.
Nakushauri tafuta hela zako achana na Fedha zinazotafutwa na Mume wako, maana Mume wako leo anaweza kuwa nazo na kesho asiwe nazo. Pia Mume wako naye ni Binadamu anaweza kupoteza maisha akakuacha uendelee kutafuta kukodolea mimacho vitu visivyo kuhusu.
 
Kwa mkuu wa mkoa hulipwa sh. Million 6 kabla ya kodi.. pia nyumba wanazoishi za serikali hulipiwa utilities zote (maji, umeme)..

Wakuu wa wilaya hulipwa million 3 kwa mwezi kabla ya kodi

Kwa DCs hapo hapana

DEDs, Maprofesa wanachukua basic milioni tano na kitu DC lazima yupo juu yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom