yani kafanania tu kama diamond kabla hajatokamtukufu umekuwa ukiwasaidia watu mbali,mbali.....je wazee wa tazara yani toka 2006 hadi leo, wazee wa watu hela zao azijatoka kwanini mtukufu paul yani deni la taifa mnalipa lakini watanzania wenzenu no..............
View attachment 411005 View attachment 411006
kwa mtindo huu hata ningekua mimi kwa kweli ningemfunga tu kama za viatu vya kidoti.njaa sio nzuri ati..mtukufu umekuwa ukiwasaidia watu mbali,mbali.....je wazee wa tazara yani toka 2006 hadi leo, wazee wa watu hela zao azijatoka kwanini mtukufu paul yani deni la taifa mnalipa lakini watanzania wenzenu no..............
View attachment 411005 View attachment 411006
SASA!! NA MUNGU TUMUITAJE WAJAMENI,HEMBU PUNGUZENI BHASI MAJAZIBA.mtukufu umekuwa ukiwasaidia watu mbali,mbali.
Kwani sio ya mtajwa hapo juu????????Mkuu hii Picha sio uchochezi kweli?
Unauhakika ni kweli hawajalipwa au mtu kapost tu thread kusudi watu wabeze serekali kulipa deni la taifa??.Hili la kujisifia kulipa deni la taifa wakati wananchi wako uwalipi.
Bora wangelipa tu kimyakimya
Ufinyu na uvivu wa kufikiri na sifa za kijinga
Naona kitu kama ndala hivipaul wakumbuke na wew......samahani lkni kwa pcha hyo nataka hisia ucpate kwa harka