johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,956
Mkuu wa mkoa wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kwa kushirikiana na Clouds media wameandaa dhifa kubwa kwa viongozi wote wa dini siku ya kufungua zawadi za Christmas.( boxing day).
Lengo la tafrija hilo ni kwa viongozi wote wa dini kama mwili wa Kristo kushiriki kula chakula kwa pamoja na kukumbushana habari njema ya kusudi la kuja Masihi wa Bwana.
Johnthebaptist nikiwa ibadani hapa Israel nawatakia tafrija njema!
Lengo la tafrija hilo ni kwa viongozi wote wa dini kama mwili wa Kristo kushiriki kula chakula kwa pamoja na kukumbushana habari njema ya kusudi la kuja Masihi wa Bwana.
Johnthebaptist nikiwa ibadani hapa Israel nawatakia tafrija njema!