Tetesi: RC Mnyeti kufukuzwa kazi!

Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.

Afukuzwe kazi wakati Magufuri hapo atampandishe cheo awe waziri kabisa, Ngosha amefuraishwa hapo
 
Nimelisikiliza clouds kipindi cha Top ten! Fara la kutupwa.
Mijitu ya aina hii ni nuksi hata kuwa karibu nayo.
 
Huyu RC anaoekana ana mdudu kichwani..!!Hizi chuki anazotengeneza miongooni mwa Watanzania kwa sifa za kijinga na kipumbavu zitamgharimu one day......!!!Asipothibitiwa kuna siku atasababisha mauaji ya KIMBARI......!!
Yaani kama hayo mauaji watakaokufa ni wapinzani, jsmaaa anaweza akapandishwa cheo awe PM kabisa
 
Raisi wa nchi ananunua madiwani wa Chadema, sasa RC anatekeleza maagizo ya Raisi anaposema hawezi kufanya kazi na Madiwani wa Chadema. Huyu Raisi ni mnafiki tu.

Ametoa kauli ya Mwenyekiti.Ukisikilza kampeni zote anayoyasema yanasemwa kila siku. Mtulia ameyaongea,Naibu Spika ameongea,Waziri wa Maji ameongea Makonda ameyaongea sijaona hata mmoja aliyechukuliwa hatua.

Mama Samia Suluhu aliyaongea akiwa kwenye kampeni ya mwaka 2015 wanaomshangaa Mnyeti inabidi wakajipime akili

Ndiyo sera ya CCM kwa sasa
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwan kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Kufukuzwa ni ngumu sana kwa utawala huu sana sana akapandishwa cheo
 
Utasubiri sana. Aliekuwa anatakiwa kutolea maelekezo kauri hiyo ni ama mrajiri wa vyama vya siasa, mwanasheria mkuu, au waziri wa rheria na katiba. Ni kauli ya kichochezi, kwani hao wapinzani wapo kisheria, anawachochea ili waasi.

Kwani hao ulio wataja wapo?Nasikia wote wametumwa India
 
Huyo mgombea wa CCM Mtulia mbona kila siku anaongea kauli hiyo..kwamba chagua CCM ndo upate maendeleo kwani ni ILANI yao ndio inaleta maendeleo...

Na bado kuna mbulula zitampa kura..

Presdaa anadai hayana chama!!
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.

Day dream, second born wa mtukufu sana Juma Pondamali, baada ya Bashite yule mnyang'anyi wa vyeti kweli afukuzwe kazi! Kazi yake ya kununua madiwani anaifanya kwa viwango vya juu sana na hiyo ndio sera ya chama cha mainzi (ccm)!
 
Usingeanzisha uzi huu naamini angepigwa chini ila kwakuwa umejifanya mtabiri basi awezi pigwa chini, yaani ukimpangia ndio unakuwa umeharibu kabisa kwahiyo wewe hapo ulishaharibu
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.

Kama alimpandisha cheo kwa kinunua madiwani hasa kwa Mbinu za vitishoo na rushwa usitegemee tofauti
Na ujuwe tu kuwa wana undugu
 
unahisi anatoa hizo tamko bila boss wake kuhusika???

Acha kujitoa ufahamu.......

lakin mm nadhani haya mambo yanamwisho wake!

Mungu aendelee kutupigania.....

Ni kweli yana mwisho wake, ila mpaka wafike mwisho, watu wengi sana watakuwa wameumia. Hilo haswa ndio tatizo, kwasababu madaraka waliyonayo na maamuzi yao yana athari sana kwa nchi na wananchi wake...
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
naona unamtetea kiaina
 
Hivi nyie inawaumiza sana mbona Chadema waligomea kushirikiana na serikali ya ccm? Au mmesahu kuwa madiwani wenu wa Dar es salaam wakiongozwa na Yule Meya wa Ubungo ambaye alikuwa jambazi kugomea ushirikiano na serikali hapa Dar es salaam? Ujinga ni mzigo
Weka namba yako ya simu weza pata post kiulaini, foleni siyo kubwa sana, kuna Machali, yule aliyeitwa tumbili, Jane Muro, na yule msukuma bwana mdogo toka bavicha.
Unaona Shonza tayari
 
Marekani walimpima Rais wao Trump kama ana akili sawasawa, na sisi tukampime jamani, kuna uzima kweli magogoni?
 
Mtu analipwa kwa pesa za umma halafu amewekwa kwa ajili ya kuwakomoa watu wa Manyara kisa kuna chadema huko.
Ni jambo la aibu.

Wanasheria wako wapi wafungue kesi za kikatiba dhidi ya huyu mtu anayerudisha nyuma maendeleo ya watu wa kaskazini kwa ubinafsi wake wa kutaka kudumu kwenye ukuu wa mkoa kwa mgongo wa ubaguzi.

Hawa ndio wanaosababishi hizi nafasi za ukuu wa mikoa kuwa nafasi zisizofaa kuwa nafasi za uteuzi wakati huu wa mfumo wa vyama vingi.
Angekua amechaguliwa na wananchi asingesema hivyo japo moyoni mwake angekuwa na ubaguzi huo mana huyo mtu ana robo ya ubaguzi na ana roho mbaya. Ni watu ambao wangetawala nchi yenye makabila mawili wangechinja wenzao ili wabaki peke yao au watawale peke yao.
Kuna mkuu wa jimbo moja kule Bangladeshi naye hua anaubaguzi lakini angalau akiwa jukwaani hajionyeshi wazi,na mara nyingi anasema maendeleo hayana chama na mambo ya uchama chama tuyaache lakini akijisahau kidogo anawasifia wale wabaguzi na kuwapa umaarufu.
Hii ni hatari.
Karne hii tuyakatae matendo na maneno yote ya kibaguzi na kuwakemea wale wote wanaoligawa taifa hili kwa misingi ya kisiasa.

Leo huyo Bwana mkoa anasema hivyo kwa sababu Chadema kipo lakini siku wakiua hivi vyama watasema hatushirikiani na watu wa dini ile kwa sababu hawaamini misahafu yetu na ile anayoamini mkubwa wa taifa teule.

Wakati wa chama kimoja kuna watu wa dini fulani walikua wanalalamika kuwa wanabaguliwa kwenye maendeleo,madaraka, elimu n.k.
Kuna watu sasa wanaturudusha nyuma kwenye misingi ya ubaguzi tena inayofanywa na watawala.
Mkuu wa mkoa akisema hivyo kwa kutaja wazi chama basi hayo yanakua ni maagizo ya kibaguzi kwa wanachama wa chama anachokipigania.
Anawagawa watu. Tutegemee matamko hayo yakishuka mpaka ngazi ya shina kwa chama chake ambacho nacho kimeshindwa kabisa kuwaunganisha watu kwa hekima zaidi ya kuanzisha mfumo wa kutembea mpaka na mapanga kuwakatakata wale wapinzani wao.
Hii ni hatari kwa watawala.
Mtawala anayelipwa mshahara mnono na mazingira bora kabisa ya kazi na heshma kubwa hapaswi kuishi maisha ya jazba, frustration na chuki kwa kiwango hicho.

Ujio wa vyama vingi ni fursa ya kujenga uvumilivu na kuondoa ubaguzi kwa watawala kutenda haki hata kwa wale wasioamini kile wanachoamini wao.

Tuache ubaguzi na tumuombe mh. Rais asiwaendekeze sana hawa wabaguzi mana wabaguzi hua hawaishii hapo kesho watajipambanua kidini na kulipasua taifa mana wamechagua umaarufu kwa kuligawa taifa kibaguzi.
 
Back
Top Bottom