LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Juzi kauza nyumba yake ARUSHA Njiro kwa bei ya kutupa. Vyuma....!!!! Cheo ni dhamanaMwisho wao 2025,yule mbabe alokuwa AR akaenda MZ na kumpigia sm sisonje kuwa mkurugenzi kamtukana na fyatu sisonje kamfukuza mkurugenzi sasa nae yuko wapi(MULONGO) hata road haonekani