Tetesi: Rc Makonda

Sema ndyo utakopo nitambua mimi ni mtu wa aina ipi?
Huna la kunitishia bro nitakapo amua kusema ubaya wako sio zana ya matusi mimi ni mtanzania mstaarabu sana naheshimu hisia za watu Sina haja ya kukuchafulia utu lkn siku zijazo jifunze kujibu hoja kwa hoja matusi ni mwiko sio utaratibu wetu watanzania alafu mimi ni mlokole sipendagi lugha chafu
 
Mbona baba yako anatukana watu ujinga na Ulofa?
 
Vip kuhusu m/kiti wako kuwa dikteta na kukosekana kwa uhuru wa demokrasia ndani ya Chama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…