RC Makonda Una Bifu Na Waziri Mkuu?

RC Makonda Una Bifu Na Waziri Mkuu?

Mbowe ana cheti?
Anacho cha form six.....na liko kupitia jina lake
Mbona naniii hataki kuonesha chake....maana tumjuavyoo naniii angeshakionesha hadharani tena mbele press ambayo angeitishaaa hapo mawingu

Ova
 
Swali bwana Kigodoro. What is your target in life. Maana. Unapenda sana kuangalia kikombe kilicho nusu tupu kuliko kilochojaa nusu. Ninapata mashaka hasa na nia yako hasa. Pengine ungekaa kimya ingependeza na ungeonekana uko mtu makini. Ama sivyo hii namna ya kuangalia mambo itaathiri sana maisha yako ya jumuiya. Familia au popte unapoishi.
Hizi fasihi hazieleweki ktk shule zetu za kata. Una kiswahili kigumu sana
 
Itifaki gani unaongelea ndugu? Yaani mkuu wa mkoa azungumzie masuala ya kitaifa? Hapa sasa ndo tubakumbuka ule wimbo......
" Eeee kijana, eee kijana kula ngoma...... Awamu ya tano, awamu ya tano Ni majanga.....Makonda akija, mwambie vyeti vyake vina Bashite"
Sasa kama mtu ni mkuu wa mkoa anajiona kama waziri mkuu ndiyo maana nimesema kiitifaki(kwa mujibu wa mawazo yake kulingana na anayoyatenda) ana uwezo wa kufanya hayo.
 
Leo Hii Ukiongea Na Mashehe Wa Dar Umejinasibu Kuwa Wauza Unga Mnaendelea Kuwadhibiti. Na Kwamba Hata Unga (ngada) Umeadimika.

Kilicho nigusa Zaidi Ni Pale Uliposema Mmesambaza Majina Ya Mnao Watuhumu Kuuza Ngada Ktk Viwanja Vya Ndege, Na Mipaka Yote Ya Nchi.

Najiuliza:
Unatoa Taarifa Ya Vita Ya Nchi Nzima Dhidi Ya Dawa Za Kulevya Kama Nani? Na Je,

Waziri Mkuu Ambaye Ndiye Mwenyekiti Baraza La Kuratibu Na Kupambana Na Dawa Za Kulevya Atasema Nn?

Usijitangulize Mbele Kifront Muachie Waziri Mkuu Suala Hili.
mbona mnamuandama sana makonda na kila afanyacho mnakikosoa, hivi makonda amewakosea nini???? Andiko lako halina point ya msingi. Hujui kwamba Wakuu wa Mikoa wana Mamlaka katika Mikoa yao na wanaweza kutoa taarifa zozote kwa wananchi
 
Kama vitabu vitakatifu ni pamoja Biblia Takatifu hiyo nukuu yako ni ya uongo uliopindukia hasa ukizingatia muktadha wa upendo wa Mungu kwa wenye dhambi. Labda uthibitishe kwa kutuwekea rejea ili nasi tujiridhishe. Tuambie ni kitabu kipi cha biblia, sura ipi na mstari upi?
Soma ,mithali 15:8,29,Zaburi 34:15 na Yohana 9:31
 
Halafu wamemuweka chini katikati na kumuombea dua, kuna nini na mashehe wa dar?, mamlaka husika jaribu kumueleza ache kuongea mambo ya uchunguzi kwenye vyombo vya habari
Unacheza na posho.
 
Leo Hii Ukiongea Na Mashehe Wa Dar Umejinasibu Kuwa Wauza Unga Mnaendelea Kuwadhibiti. Na Kwamba Hata Unga (ngada) Umeadimika.

Kilicho nigusa Zaidi Ni Pale Uliposema Mmesambaza Majina Ya Mnao Watuhumu Kuuza Ngada Ktk Viwanja Vya Ndege, Na Mipaka Yote Ya Nchi.

Najiuliza:
Unatoa Taarifa Ya Vita Ya Nchi Nzima Dhidi Ya Dawa Za Kulevya Kama Nani? Na Je,

Waziri Mkuu Ambaye Ndiye Mwenyekiti Baraza La Kuratibu Na Kupambana Na Dawa Za Kulevya Atasema Nn?

Usijitangulize Mbele Kifront Muachie Waziri Mkuu Suala Hili.
Umesahau ?
Nani alimtonya mkulu kuwa WM alikuwa HAIJUI nafasi yake ya uenyekiti?
 
Acha kucomplecate kitu kidogo kama hicho, ni mteule wa rais
 
Back
Top Bottom