Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Ibara ya 16 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano inasema; "Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na mawasiliano yake binafsi".
Baada ya huyu mama kujitokeza na kudai ni mtoto wa Lowassa niliamua kumfatilia, nimejaribu kumfatilia kwa ufupi huyu mama, bahati nzuri naishi nae huku Kigamboni namfahamu vizuri sana ni kada mtiifu wa CCM.
Jina lake halisi anaitwa Fatuma Selemani Chikawe, mtu wa Kusini huko Wilaya ya Nachingwea, amekulia Magomeni kwa mjomba wake aitwaye Majuto Yusufu Kamba na maisha yake yalikuwa ya getogeto tu, kwasasa anaishi mtaa wa Ungindoni Kata ya Mjimwema hapa Kigamboni.
Ameolewa na Musa Mwakifambwe mjumbe wa jumuiya ya wazazi CCM mkoa wa Dar na kabla ya kuolewa na huyu kada mwenzake aitwaye Mwakifambwe, alizaa mtoto na bwana ambae anafahamika kama Kibona Ally Pesa mbili wa Gongolamboto.
Wote wawili ni makada watiifu wa CCM, nyaraka za mama huyu zote zinamuonyesha ni Fatuma Selemani Chikawe na sivyo anavyodai. Anaweza kuwa kweli ni mtoto wa Lowassa au laa, hilo halina maana wala sio msingi wa hoja yangu, kwakuwa ndugu zake hao wapo Monduli na Mikocheni tu hapo angesafiri tu na kujitambulisha, waswahili husema mtoto ni baraka.
Hoja kuu ni timing ya jambo hili na inavyoendeshwa kisiasa hapa ndio utata ulipo na lazima kuwepo njia za za haraka za kulikabili, jambo hili halina tofauti na ile misheni ya kudhalilisha watu akina Mbowe, Gwajima, Manji nk, kwa kigezo cha vita ya madawa ya kulevya.
Taarifa zingine za mama huyu zinahifadhiwa kwaajili ya baadae.
Utapeli huu wa CCM na vibaraka wao uishie katika vibaraza vya Lumumba.
Na Yericko Nyerere
Soma: Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa
Soma: Fred Lowassa: Paul Makonda nimetoka naye mbali sana, nasikitika anavyotumia nafasi yake vibaya kwa manufaa anayoyajua
Baada ya huyu mama kujitokeza na kudai ni mtoto wa Lowassa niliamua kumfatilia, nimejaribu kumfatilia kwa ufupi huyu mama, bahati nzuri naishi nae huku Kigamboni namfahamu vizuri sana ni kada mtiifu wa CCM.
Jina lake halisi anaitwa Fatuma Selemani Chikawe, mtu wa Kusini huko Wilaya ya Nachingwea, amekulia Magomeni kwa mjomba wake aitwaye Majuto Yusufu Kamba na maisha yake yalikuwa ya getogeto tu, kwasasa anaishi mtaa wa Ungindoni Kata ya Mjimwema hapa Kigamboni.
Ameolewa na Musa Mwakifambwe mjumbe wa jumuiya ya wazazi CCM mkoa wa Dar na kabla ya kuolewa na huyu kada mwenzake aitwaye Mwakifambwe, alizaa mtoto na bwana ambae anafahamika kama Kibona Ally Pesa mbili wa Gongolamboto.
Wote wawili ni makada watiifu wa CCM, nyaraka za mama huyu zote zinamuonyesha ni Fatuma Selemani Chikawe na sivyo anavyodai. Anaweza kuwa kweli ni mtoto wa Lowassa au laa, hilo halina maana wala sio msingi wa hoja yangu, kwakuwa ndugu zake hao wapo Monduli na Mikocheni tu hapo angesafiri tu na kujitambulisha, waswahili husema mtoto ni baraka.
Hoja kuu ni timing ya jambo hili na inavyoendeshwa kisiasa hapa ndio utata ulipo na lazima kuwepo njia za za haraka za kulikabili, jambo hili halina tofauti na ile misheni ya kudhalilisha watu akina Mbowe, Gwajima, Manji nk, kwa kigezo cha vita ya madawa ya kulevya.
Taarifa zingine za mama huyu zinahifadhiwa kwaajili ya baadae.
Utapeli huu wa CCM na vibaraka wao uishie katika vibaraza vya Lumumba.
Na Yericko Nyerere
Soma: Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa
Soma: Fred Lowassa: Paul Makonda nimetoka naye mbali sana, nasikitika anavyotumia nafasi yake vibaya kwa manufaa anayoyajua