Ndio maana amekuambia RC ni wa wote hapa Dar. Na akasema tofautisha Polepole na RC. Polepole ni kada tu wa chama, siyo kiongozi wa wote. Lissu siyo kiongozi mwenye mamlakaHiviii uliwahi kumsikia Lissu na Mbowe na Kina Mdee wanasema Magufuli ni dicteta Uchwara? Uliwahi kukemea? Acha unafiki bro huo ni unafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zero brainHuyu RC kila akifungua mdomo lazima achafue, sijui kwanini, gundu?
Daud Bashite ana siri nyingi zikiwemo za kumshambulia Tundu lisu,Udalali ununuzi wa Ndege wana kampuni zao za pamoja kwenye ujenzi wa Reli madaraja uwanja wa Ndege chato Dodoma, umeme mbugani ni vigumu kwa mtukufu magufuli kumtumbuaNinachompendea Mzee Baba hana rafiki wa kudumu ...
Hakika nawaambieni iko siku huyu bashite huyu atatolewa kafara na Baba mchana kweupee ili kupata mileage zake za kisiasa ...!!
Mda hausemi uongo ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Daud Bashite hana vyeti na washauri wake wakuu ni Le mutuz kubwa jinga cyprian Musiba unategemea nini hapo?Sio gundu mkuu..alichokiongea Ndio kipimo Cha mtu mpumbavu asiye na akili na mara nyingi watu wanaotoa kauli za namna hii huwa ni kwa ajili ya kuwafurahisha mabwana zao na sio kingine
Washauri wakuu wa Daud Bashite ni Le mutuz kubwa jinga na Cyprian Musiba epu pata picha kuanzia hapo ndipo utajua Daud Bashite ni mjinga kiasi gani
Utoto na ulevi wa madaraka.... ukisikia mtu anauliza .. UNAJUWA MIMI NI NANI..?? Jua kuna shida pahalaHuyu RC kila akifungua mdomo lazima achafue, sijui kwanini, gundu?
Mzalendo2015, Hilo la kutengua uteuzi halitaweza kutokea kamwe kwani kila lisemwalo limepangwa, kusanya na ya Polepole utaoona ni mapacha.