johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,660
- 145,432
Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewaagiza Takukuru kumkamata DED wa Arusha na Watendaji wake wanaotuhumiwa kufisadi tsh 19 million za mwekezaji wa sekta ya Utalij Chamburo
Aidha RC Makonda amepiga Marufuku tabia ya maafisa wa TRA kupeleka Demand Notice za madai ya Kodi wakiwa wameambatana na Vikosi vya polisi
Arusha kumeshakucha
Aidha RC Makonda amepiga Marufuku tabia ya maafisa wa TRA kupeleka Demand Notice za madai ya Kodi wakiwa wameambatana na Vikosi vya polisi
Arusha kumeshakucha