johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,942
- 141,918
Tuwe tu wakweli na tuachane na siasa nyepesi stendi binafsi za mabasi ya mikoani ya makampuni makubwa zitaendelea kuwepo. Hakuna abiria makini anayefurahia kugombaniwa kama mpira wa kona pale Magufuli Bus Terminal.
Nadhani Makalla ajibidiishe na pale Kariakoo kwanza mbona Makonda na Isaya Mwita wa CHADEMA walilimudu Jiji hili jamani!
Nadhani Makalla ajibidiishe na pale Kariakoo kwanza mbona Makonda na Isaya Mwita wa CHADEMA walilimudu Jiji hili jamani!