GE2025 RC Kheri James Aagiza Ujenzi wa Stendi Iringa Ukamilike Ndani ya Miezi Miwili

GE2025 RC Kheri James Aagiza Ujenzi wa Stendi Iringa Ukamilike Ndani ya Miezi Miwili

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Kutokana na kukosekana kwa stendi ya mabasi katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James Ameiagiza Halmashauri hiyo kuhakikisha kuwa baada ya miezi miwili stendi za mabasi zinaanza kufanya kazi katika maeneo yaliyotengwa.

Mhe. Kheri ametoa maagizo hayo Julai 18,2025. Wakati wa ziara yake ya kuzungumza na watumishi wa Halmashuri hiyo.

 
Back
Top Bottom