RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

Mzee Tupatupa wa Lumumba,
Umenena vema! Tatizo la Mkuu wa nchi hamweshimu hata huyo mama Samia! Mnakumbuka kuna kipindi fulani kulikuwa na uvumi kuwa M/Rais alitaka kujiuzulu kwa kufokewa na Magufuli!
Hivo tusishangae kuona alichofanya mGambo ni maelekezo toka juu!!!!
Siyo siri Magufuli ana chuki na Mhe.Lema na upinzani wote kwa ujumla!
Kifupi ni kwamba Magufuli anaendeleza sera za kibaguzi kiasi cha kupelekea kupoteza kabisa kile tulichoachiwa na Mwasisi wa Taifa hili Mwl. Nyerere(RIP).
 
Ha ha ha
RC wa Arusha,
RC wa Dar
 
Lema kwenye misiba/sherehe za CCM ni kama Mzamiaji. Hawampendi hata kumuona. Pole Mbunge Lema unatengwa walipo kama mwenye Ebola.
 
Na kuonyesha hilo limemkera Mh Makamu wa rais ikabidi awatambue wakati anajiandaa kutoa pole. Sasa asiye jaribiwa au kupangiwa atafanya jambo??
 
.Kiki hadi misibani
Mtu mwenye huzuni halilii kuongea msibani kamwe
hawa tunako elekea watakuja kuombea misiba mikubwa itokee kwao
wapate kiki
Hawa watu ni wabaya sana katika kutafuta kiki kwa misiba.
Waliwahi kuuburuza mwili wa Mawazo toka katoro mpaka Mwanza,eti kuuaga,walipoambiwa huyo kwao ni Geita, rudini Geita wakaisusa maiti kwanza kama wiki hivi halafu wakaiburuta tena hadi geita yote hii wapate kiki
 
Watu kutojiuliza haya maswali, imenifanya nianze kuogopa sana kama taifa tunaelekea wapi au labda tumefika wapi. Kutwa mijadala yetu ni mambo ya kitoto tu.

Nimambo yakitoto kwasababu 90% Mijadala huletwa na watoto,
Huwezi kulilia kuongea msibani
kwamba ndio itawasaidia nini wafiwa!!
Au usipo ongea msibani lema hatajulikana?
Aongee mbowe bado hawa tosheki!!
Hawa watu wana shida sio bure
 

Ila ninacho kiona ni Watoto wenzie ndio wanashangiria upuuzi huu!!
Unaanzaje kulilia kuongea msibani!!?
Kila mmoja akililia kuongea itakuwaje!?
Tuseme wazazi na Lema nani mwenye uchungu wa msiba ule!!?
Kwanimi alilie kuongea lema na si Mzazi aliye fisha!!

Naona watu hawazeeki mwili bali Akili kwa sasa
 
Mmeona mmemshindwa makonda mmehamia kwa gambo. Anafuata sijui atakua nani?
 
Lema kwenye misiba/sherehe za CCM ni kama Mzamiaji. Hawampendi hata kumuona. Pole Mbunge Lema unatengwa walipo kama mwenye Ebola.
Lema na Mbowe na mkubwa kwa cheo?
Kiki hadi msibani?Na leo ole wake angejigalagaza kwenye mavumbi kama alivyofanya kwenye uzinduzi wa ujenzi wa hospitali
 
kijana Hana adabu kabisa. makufuli anawatia ujinga hawa jamaa wa mikoa
 
uongo mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…