mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,398
- 3,252
Hawajamvunja taya?! Teh!
Nafikiri kuna jambo tu...!Sijui kwa nini na mimi huu wimbo wiki hii nimeukumbuka! .
Ha ha ha...ashushie na popcorn.Mleta mada agiza mirinda hapo nakuja kulipa
Achukue hatua kwa RC...tutasubiri.Siamini kuwa kuna kitu kama hicho kutokea lakini kama ndo hivyo ni budi Mhe. Rais kachukua hatua mara moja kumuondoa RC wa Arusha kwenye nafasi yake.
Malipo ya ubaya hulipwa kwa wema lakini ukiwa na mtu jeuri, ni bora kumlipa kwa ubaya tu.Nimedokezwa kwamba video ya kipondo hicho iko mitaani , ngoja tuone kama naweza kuiweka humu jf kunogesha mambo .
Malipo ni hapahapa .
Kukamilisha habari.Ukifanya hivyo utakuwa umeitendea mema JF
Kawaida ukipigwa gumi la pua mchuzi humwagika, huyu je?Kuna tetesi zinadai kwamba, Mkuu wa Mkoa WA Arusha Mrisho Gambo amepokea kipigo kutoka kwa Katibu wa Ccm Mkoani Arusha Elias Mpanda Mara baada ya kulazimisha wajumbe wasiohusika kuingia kikao cha kamati ya siasa mkoa ambao yeye mkuu wa mkoa ni mjumbe lakini huku akilazimisha waingie kamanda wa TAKUKURU ARUSHA na AFISA USALAMA TAIFA MKOA ambao kiitifaki si wajumbe wa kikao hicho.
Gambo amepokea kichapo hicho na kumsababisha kuvimba pua na Mdomo baadaya ya kulazimisha wajumbe hao ambao kimsingi si wajumbe kutaka washiriki kiako na kuanza kumporomoshea matusi ya nguoni katibu wa mkoa ccm bwana Elias Mpanda,
hata hivyo baada ya kipigo kikao hicho kilichokuwa ofisi ya mkoa Arusha kilivunjika,baada ya kuvunjika mkuu wa mkoa alituma Askari wakuu akiwemo RCO wa Arusha kumkamata Katibu huyo lakini busara za RCO aliyekaa kikao na pande zote mbili kutuliza hasira zao.
Hata hivyo haijulikani kikao hicho kitafanyila lini tena huku Mwenyekiti akitafakari namna itakavyo endelea.
Gambo ambaye alipachika wagombea wake kila eneo lakini walishindwa na kambi ya mkiti aliyeshinda mh Sanare amekuwa kwenye wakati ngumu katika vikao hivyo.
Hadi sasa imekua siri kwa wanachama wa Chama cha mapinduzi Ccm Mkoa wa Arusha kuwa kitendo hicho ni cha aibu sana,
Msimamo wa kamati ya siasa ni kuwa wateule na viongozi wakuchaguliwa kutekeleza ilani ya chama badala ya kuingilia maamuzi ama kuendesha chama kwa mgongo wa uteuzi wao
Gambo alifika katika kikao kikao hicho na Afisa usalama wa Mkoa Rso pamoja na kamanda wa Takukuru Mkoa Wa Arusha
Rc huwezi kumfananisha na mtu kama lema,ni mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ana dola ana mlinzi,unaanzaje kumpiga?
Eti Rco Katumia busara,Rc akisema kamata weka ndani ni amri
Halafu ccm ni chama tawala,kina haki kumuita afisa yoyote wa serikali kwa ajili ya kutoa ufafanuzi kikaoni
Ujue machalii huko Arusha wanavyompenda jamaa!Kwanini hii thread imedumu hadi sasa?!!!!!!!!!
Hata kama kapigwa,shida iko wapi?!!yeye ni yesu? au Muhammad?apite hiviUkuta wa Mererani haumhusu, ukuta unazinduliwa Manyara, yeye kipigiwa Arusha, allegedly. Awepo asiwepo kwenye ukuta haigeuzi ukweli kama kapigwa au hajapigwa.
Kiongozi ambae ukisemekana umepigwa watu wanashangilia lazima ujipime unakosea wapi.
Warioba alipigwa nchi ikalaani na kuhuzunika. Msafara wa Mkapa ulipopolewa mawe Masaki jamii ikashangilia. Tujihoji, wajipime.
Aibu hizi tutaziweka wapi jamani,Magu mbona hatukuelewi na wateule wako hawa?Hivi tuseme TISS wameshindwa kabisa kukupatia watu ambao watakipa chama na serikali taswira nzuri.Ni aibu sana kama ni kweli.Kuna tetesi zinadai kwamba, Mkuu wa Mkoa WA Arusha Mrisho Gambo amepokea kipigo kutoka kwa Katibu wa Ccm Mkoani Arusha Elias Mpanda Mara baada ya kulazimisha wajumbe wasiohusika kuingia kikao cha kamati ya siasa mkoa ambao yeye mkuu wa mkoa ni mjumbe lakini huku akilazimisha waingie kamanda wa TAKUKURU ARUSHA na AFISA USALAMA TAIFA MKOA ambao kiitifaki si wajumbe wa kikao hicho.
Gambo amepokea kichapo hicho na kumsababisha kuvimba pua na Mdomo baadaya ya kulazimisha wajumbe hao ambao kimsingi si wajumbe kutaka washiriki kiako na kuanza kumporomoshea matusi ya nguoni katibu wa mkoa ccm bwana Elias Mpanda,
hata hivyo baada ya kipigo kikao hicho kilichokuwa ofisi ya mkoa Arusha kilivunjika,baada ya kuvunjika mkuu wa mkoa alituma Askari wakuu akiwemo RCO wa Arusha kumkamata Katibu huyo lakini busara za RCO aliyekaa kikao na pande zote mbili kutuliza hasira zao.
Hata hivyo haijulikani kikao hicho kitafanyila lini tena huku Mwenyekiti akitafakari namna itakavyo endelea.
Gambo ambaye alipachika wagombea wake kila eneo lakini walishindwa na kambi ya mkiti aliyeshinda mh Sanare amekuwa kwenye wakati ngumu katika vikao hivyo.
Hadi sasa imekua siri kwa wanachama wa Chama cha mapinduzi Ccm Mkoa wa Arusha kuwa kitendo hicho ni cha aibu sana,
Msimamo wa kamati ya siasa ni kuwa wateule na viongozi wakuchaguliwa kutekeleza ilani ya chama badala ya kuingilia maamuzi ama kuendesha chama kwa mgongo wa uteuzi wao
Gambo alifika katika kikao kikao hicho na Afisa usalama wa Mkoa Rso pamoja na kamanda wa Takukuru Mkoa Wa Arusha
PM ni namba 4 namba Moja Rais namba mbili makamu wa Rais namba tatu Rais wa Zanzibar namba nne Waziri Mkuu kwa itifaki ya TanzaniaHapana PM ni no.3 kwa ukubwa kisha linafuata Baraza la Mawaziri in terms of political rulling, lakini kwenye executive powers, hata ma PS kwenye wizara ndio wakuu, where executive powers lies, ndio kwenye nguvu.
P
Unaongelea itifaki ya nchi gani paskali? Hoja salute hata Mbunge anapigiwa salute, Jaji anapigiwa salute, inspector anapigiwa salute. Kwahiyo kupigiwa salute siyo hoja.Rais ni mkuu wa the executive, ni head of state na amiri jeshi mkuu, mawaziri ni political appointee tuu, hawana executive powers, wakuu wa mikoa ni executive positions, waziri hapigiwi saluti, RC anapigiwa saluti.
Ma RC ndio wakuu wa kamati za ulinzi na usalama
ana tuma report yake direct to No.1. Waziri ni mtu mdogo in terms of power kumlinganisha na RC.
Japo structurally Waziri ni mkubwa, lakini application RC kimkoa ni mkubwa kuliko Waziri, huyu kwa mkoa ni rais wa mkoa, waziri sio rais wa popote. Hapa tunazungunzia powers na sio responsibilities.
P