RC Dar Es Salaam amepokea magari 17 kati ya 28 ya Jeshi la Polisi yaliyokuwa yakifanyiwa maboresho Moshi

Jamani dogo Bashite anamipango.
So far ninekuja gundua huyu dogo ni
1. Futurist
2. Strategist
3. Na influential pia
I wonder amefanya manuva gani mpaka kuweza kumuinfluence mkuu.
Na wasiwasi atahii issue ya Madini kabla haijalipuka yeye ndio aliiandaa
 
Watetea mafisadi chadema, ni matumbo joto
wana lumumba bana hivi tangu lini ccm iliwahi kamata mafisadi haiwezi sababu ufisadi mwingi sana unafanywa na ccm na mafisadi woote chimbuko lao ni ccm mahaama ya ufisadi saa hizi nahisi wanafugia kitimoto
 
Pambaf. Ujinga mwingine huu. Sasa Bashite amekuwa IGP???!!
 
mmeamua kuzuga baada ya mpango wenu wa nairobi kuumbuliwa eeh...
Mnaaminishwa kila kitu kama hamtumii zenu vile!.
Ndio walewale waliominishwa ushindi utapatikana nne asubui, haukuja!. Mkaambiwa kuna vijana wametumwa Ulaya, ICJ wanakuja na barua kuzuia kidume kisiapishwe, mkaamini tena! Mkaambiwa Makinikia tunaburuzwa mahakamani na tutanyolewa na kwa chupa, mkaamini tena na mkakata mauno ya kufa mtu kwa furaha, haijawa!!! Mnakoelekea mtaaminishwa 2020 mambo yatakuwa safi.
 
Gari zote za serikali ziko chini ya kitengo kimoja tu, wizara ni watumiaji tu.
 
Mwisho wa siku, je alichofanya ni sahihi ama bora angeyaacha yaoze???
 
Mh nashukuru sana umemaliza kila kitu.
 
we live in a country subjugated by hypocritical misogynists;mie nilitegemea atafufua magari ya wagonjwa(ambulances),magari ya kuzoa taka,atasimamia kuona mkoa wangu una public open space kwa watu kwenda kujipumzisha,public toilets,barabara safi na zenye address(maana noe ni vigumu mno kumwelekeza mtu kwako bila ya kutumia land marks kama shule,)magari haya ya polisi mimi ningekuwa natoa leseni yake yasingepata sio salama kwa watumiaji wake ,yako wazi mno kule nyuma .kama kawaida tunaishi nchi ya kusadikika.
 
Wewe hojayao ipi hapo
 
Hakuna gari lililotengenezwa huko Moshi. Magari yote yalisafirishwa kutoka Mikoa mbalimbali na kupelekwa Moshi ionekane yalikuwa yanatengenezwa kumbe kanyaboya tu.

Watanzania kwa sasa ni waelewa sana hatudanganyiki na hizi siasa za maji taka. Kwa taarifa yako magari yenyewe yalisafirishwa kama ifuatavyo;

Kigoma magari 2
Moshi penyewe magari 3
Dar - es - Salaam Magari 7
Arusha magari 2
Mwanza magari 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…