digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,141
- 22,022
Nimekuwa nikimfatilia huyu bwana Chalamila mwenye kichwa kinachofanana na senene wa Bukoba akijinadi hadharani na kutuaminisha kuwa ni mwema na hahusiki juu ya mauaji ya maelfu ya watanganyika ,la hasha. Chalamila Leo unajiona mwema ila tambua kizazi chako na familia yako lazima italipa damu za watanganyika,
Tambua kuwa Kuna Tanganyika mpya ipo mbioni , Tanganyika hii itataka wote waliohusika kutoa amri ya kuua watanganyika wenzetu wachukuliwe hatua,nakuambia Chalamila hutapona.Majivuno yako na juhudu zako zote zitaishia jera, Mungu aturehemu ,atujalie uzima,nitakuja kukusalimia kwenye Gereza utakalo kuwa umefungwa na nitakukumbusha huu ujumbe
Tambua kuwa wewe ukiwa mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa ulipokea amri Toka kwa Samia ya kushuti na kuwaua watanganyika wenzetu,nakuambia si Leo Wala kesho utalipa gharama za damu za ndugu yetu.
Chalamila,kichwa senene,siku zako zinakuja
Tambua kuwa Kuna Tanganyika mpya ipo mbioni , Tanganyika hii itataka wote waliohusika kutoa amri ya kuua watanganyika wenzetu wachukuliwe hatua,nakuambia Chalamila hutapona.Majivuno yako na juhudu zako zote zitaishia jera, Mungu aturehemu ,atujalie uzima,nitakuja kukusalimia kwenye Gereza utakalo kuwa umefungwa na nitakukumbusha huu ujumbe
Tambua kuwa wewe ukiwa mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa ulipokea amri Toka kwa Samia ya kushuti na kuwaua watanganyika wenzetu,nakuambia si Leo Wala kesho utalipa gharama za damu za ndugu yetu.
Chalamila,kichwa senene,siku zako zinakuja