GE2025 RC Babu: Jitokezeni kupiga Kura mliojiandikisha

GE2025 RC Babu: Jitokezeni kupiga Kura mliojiandikisha

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, ametoa wito kwa wananchi wa mkoa huo waliojiandikisha kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, bila kuwa na hofu yoyote.

Babu ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, ameyasema hayo mjini Moshi, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari akiwa na Kamati ya Usalama ya Mkoa, ambapo ameelezea suala la usalama katika kipindi cha uchaguzi mkuu na kuongeza kuwa mkoa huo umejipanga kuhakikisha wananchi wanatimiza wajibu na haki yao ya kikatiba kwa kupiga kura.

Amewahakikishia wananchi wa Kilimanjaro usalama kwa asilimia 100, hivyo amewasihi wajitokeze mapema kwenye vituo walivyojiandikisha na baada ya kukamilisha zoezi hilo warudi nyumbani kuendelea na shughuli zao za maendeleo.

Kwa upande wake, Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Kilimanjaro, Gasper Ijiko, ameeleza kuwa vituo vya kupigia kura vitafunguliwa mapema saa 12 asubuhi na maandalizi yanaendelea vizuri, hivyo wananchi wote wenye sifa wajitokeza kwa wingi kupiga kura siku ikifika.

 
Hivyi vyeo inatakiwa vifutwe hua najiuliza kazi ya mkuu wa mkoa ni ipi .... Sasa mtu wa serikali anapiga debe watu wakapige kula
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Unapoteza haki gani wakati tumepiga kura 2020 zikaporwa tukapiga uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ukaporwa wote bila katiba mpya hakuna kitakachobadilika.
 
Back
Top Bottom