buswelu moja
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 226
- 147
Mkuu wa mkoa wa Arusha, mrisho Gambo ameamuru mkurugenzi wa kampuni ya ukandarasi ya TANCHI BROTHERS, Zhong Hong awekwe mahabusu kwa muda wa saa 24 kutokana na kusuasua kukamilisha mradi wa ujenzi wa ofisi za mamlaka ya maji mkoani Arusha.
Mbali na mkurugenzi huyo pia aliamuru wasaidizi wake wawili ambao ni watanzania wawekwe ndani.
Agizo hilo limefuatia baada ya Rc Gambo juzi kufanya ziara ya kutembelea mradi huo ambao unatarajia Kukamilika February 2020 na kukuta mradi huo ukisuasua jambo lililomlazimu kumwita ofisini mkandarasi huyo jana na kisha kuamuru awekwe mahabusu.
Mbali na mkurugenzi huyo pia aliamuru wasaidizi wake wawili ambao ni watanzania wawekwe ndani.
Agizo hilo limefuatia baada ya Rc Gambo juzi kufanya ziara ya kutembelea mradi huo ambao unatarajia Kukamilika February 2020 na kukuta mradi huo ukisuasua jambo lililomlazimu kumwita ofisini mkandarasi huyo jana na kisha kuamuru awekwe mahabusu.