kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Msanii toka WCB Rayvanny amepata nomination katika tuzo za BET awards 2017 katika kipengele cha Best International Viewers Choice Awards.
Rayvanny ndo msanii peke toka ukanda wa Afrika Mashariki kupata nomination za mwaka huu katika tuzo za BET
Kipingelee iki mwaka jana kilikuwa na wasanii wa bara la Africa tu na alishinda Falz wa Nigeria ila mwaka huu wamechukua wasanii toka mabara tofauti.
List ya nominees ni;
Rayvanny (Tanzania)
Dave (UK)
Amanda Black (SA)
Changmo (South Korea)
Daniel Caesar
Remi
Skip Marley
Rayvanny ndo msanii peke toka ukanda wa Afrika Mashariki kupata nomination za mwaka huu katika tuzo za BET
Kipingelee iki mwaka jana kilikuwa na wasanii wa bara la Africa tu na alishinda Falz wa Nigeria ila mwaka huu wamechukua wasanii toka mabara tofauti.
List ya nominees ni;
Rayvanny (Tanzania)
Dave (UK)
Amanda Black (SA)
Changmo (South Korea)
Daniel Caesar
Remi
Skip Marley
