Raymond Kigosi bado anaigiza?

Raymond Kigosi bado anaigiza?

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,221
Reaction score
2,971
Naomba jibu
FB_IMG_16101966268944344.jpg
 
Kwasasa amekaa na guduria la maji anakunywa kwa nguvu zote azidi kuwa mweupe hapo kinondoni
 
Ila jamaa anachojitahid ni Hana skendo za kijinga jinga.Hata za kumzushia tu humkuti nazo
 
Anakelele sana kwenye movie zake. Halafu kibwagizo chake cha pumbavuuu na kile yooo cha kiba ni vya kijinga sana.
 
Leo waigizaji waliobaki ni JB, Ray Kigosi na Mhogo Mchungu....achilia mbali Masanja na Joti.
 
Back
Top Bottom