dalloboy
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 314
- 246
Ndo na kubadili dini mkuumbona kazur tu mkuu alafu kapole hakanaga skendo
Ndo na kubadili dini mkuumbona kazur tu mkuu alafu kapole hakanaga skendo
Umenifurahisha sana, hata sisi tunakushangaa ulivyonasa kwa demu wako ambaye wengi tumempangusa. Ni kawaida tu kama hujamkuta bikira basi kuna mtu kapita.Hivi ray, haka kademu kamemlisha nini
teh teh tehUmenifurahisha sana, hata sisi tunakushangaa ulivyonasa kwa demu wako ambaye wengi tumempangusa. Ni kawaida tu kama hujamkuta bikira basi kuna mtu kapita.
Ila ray anaipenda hii dini toka kitambo kuna baadhi ya movie zake ameigiza akiwa katika hali ya kidiniSafi sana ray karibu Islamic din
Real love hiyo mkuuNdo na kubadili dini mkuu
Hahahaah ule uongo ulizidi.!usimwamini sana ray ashawahi kudanganya taifa zima
Kabisa.!Aiseee jf yatosha!
Duh.!labda anafungua kifuniko cha pepsi!!!
Inaelekea kaacha kunywa maji sasa maana ameanza kuwa mweusi.
BAADA kuwa katika mahusiano kwa muda mrefu nyota wawili katika tasnia ya filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hansy , Chuchu anafunguka kwa kusema kuwa mpenzi wake huyo yupo mbioni kubadili dini na kumfuata yeye kwani tayari anafunga naye mwezi huu mtukufu.
“Ray ananisupport kufunga mwezi huu yupo sambamba nami kufuata taratibu za kidini hivyo Inshallah tukijali siku si nyingi atabadili dini na kufunga ndoa lazima anifuate mimi,” anasema Chuchu Hansy
Chuchu aliyasema hayo akiongelea filamu yake mpya anayotarajia kuingiza sokoni ya Usiku wa Daku ikiwa ni sinema ya Kidini akiwa ameitengeneza kwa kusaidiwa na Ray sinema hiyo imemshirikisha Hemed Suleiman na wasanii wengine.
Source: Bongo Movie
Ni maji tu yale ndo yalimbadili rangi ya ngozi. Huoni kafifia sasa hivi sababu ya kumsaidia demu wake kufunga.Kama ameweza kubadili rangi ya ngozi itakua dini?
labda maji anayokunywa saiv ni ya mtaro au yatakua fekiInaelekea kaacha kunywa maji sasa maana ameanza kuwa mweusi.
usimwamini sana ray ashawahi kudanganya taifa zima
hahahh vunga mkuu!teh teh teh
Naona mtoto wa mujini uko mawindoni......