Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,453
- 79,769
Walimu wengine zeroHuwezi kumzidi maarifa mwalimu
Walimu wengine zeroHuwezi kumzidi maarifa mwalimu
tuwekee na clip ya kanumba pambano linogeView attachment 2677943
Kweli anajua kuigiza, ukimuangalia alivyo na hisa unaweza fikiri ni Denzel Washington😂😂
Kwa Tanzania...Wahenga walishasema sikio haliwezi kuzidi kichwa
Ray Kigosi ni nani hapa Mtwara ?"Jitu lipo makambako, uvinza , Namtumbo ,Meatu nk alafu linauliza Ray ni nani/ Kanumba ni nani"
NB
Hayo sio maneno yangu,kuna mlevi kapita hapa ndio aleyatamka
Wewe na kiduku chako unaweza ?Nakumbuka kipindi niko mdogo niliwahi kumwona King Majuto anafanya igizo la jukwaani pale DDC Kariakoo, enzi hizo akiwa na Muungano Theater. Haikuwa comedy, alifanya onyesho serious, nakumbuka story ilikuwa ya kusikitisha sana.
Sasa hao viduku wenu, sijui kama wanaweza kupanda jukwaani waigize kitu wawatoe watu wazima machozi kama alivyofanya Majuto siku ile.
Mzee alikuwa fundi yuleNakumbuka kipindi niko mdogo niliwahi kumwona King Majuto anafanya igizo la jukwaani pale DDC Kariakoo, enzi hizo akiwa na Muungano Theater. Haikuwa comedy, alifanya onyesho serious, nakumbuka story ilikuwa ya kusikitisha sana.
Sasa hao viduku wenu, sijui kama wanaweza kupanda jukwaani waigize kitu wawatoe watu wazima machozi kama alivyofanya Majuto siku ile.
Hapo sawaWengine ni born London
Ukinuondoa Mzee Majuto, then kwangu mimi huwa namuona JB yupo vizuri sana, ila funga kazi kwa sasa nadhani ni yule Msanii aitwaye Gabo, pia Shamsaford.Ila Kanumba Alivyofariki Ndipo akapata Umaarufu na Sifa zaidi, ingetokea hata Ray amefariki kabla ya Kanumba basi sifa zote za Kanumba angesifiwa yeye.
Kiufupi watu hawa walikuwa Wanajua na haitakuja kutokea Ushindani Mkubwa kama wa Ray na Kanumba, Kidogo Seba na J Plus walileta Ushindani lakini bado sana.
Ray amepotea BAADA YA KIFO CHA KANUMBA MAANA HANA TENA MSHINDANI. HATA LEO HII ALIKIBA NA HARMONIZE WAKIFA DIAMOND HATASIKIKA KAMA ZAMANI MAANA WASHINDANI WAKE HAWAPO.
(CC: Hopetyga)
Toa maoni yako
Gabo zigamba huyu huyu??Ukinuondoa Mzee Majuto, then kwangu mimi huwa namuona JB yupo vizuri sana, ila funga kazi kwa sasa nadhani ni yule Msanii aitwaye Gabo, pia Shamsaford.
Hawa watu siku wakija kujitambua watafika mbali. Gabo anajua atakacho ila hana connection.
Mkojani na tin white wao ufalme wao upo kwenye mabasi ya mikoani.Mbona mkojani mnamtenga