RAY C

RAY C

SirAlfred006

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2020
Posts
552
Reaction score
1,306
urembo ni kitu cha muda
254716829537_status_783a89caa24049e8b25628ea5ccfc2a5.jpg
 
Kwani amekuwaje tena? Zamani alikuwa vipi? Kiuno chake kimeingia mfupa siku hizi?
Zamani alikuwa hana mfupa kiunoni now mfupa tele

Asikwambie mtu MPIRA PESA
ukiwa na ELA we MZURI
huyu bidada nikimkumbuka kipindi kike anabugia dawa MWANANYAMALA HOSPTARI alivyokuwa kachakaa yaan mtu unamwambia unamuona RAY C yule
mtu anakubishia hapana siyo

wakuu tutafute ela ukiwa na ela we mzuri
images%20(32).jpg
 
Naona $$$$ zimekutakatisha hapo kwenye picha yako!
Zamani alikuwa hana mfupa kiuoni now mfupa tele

Asikwambie mtu MPIRA PESA
ukiwa na ELA we MZURI
huyu bidada nikimkumbuka kipindi kike anabugia dawa MWANANYAMALA HOSPTARI alivyokuwa kachakaa yaan mtu unamwambia unamuona RAY C yule
mtu anakubishia hapana siyo

wakuu tutafute ela ukiwa na ela we mzuriView attachment 2053954
 
Zamani alikuwa hana mfupa kiuoni now mfupa tele

Asikwambie mtu MPIRA PESA
ukiwa na ELA we MZURI
huyu bidada nikimkumbuka kipindi kike anabugia dawa MWANANYAMALA HOSPTARI alivyokuwa kachakaa yaan mtu unamwambia unamuona RAY C yule
mtu anakubishia hapana siyo

wakuu tutafute ela ukiwa na ela we mzuriView attachment 2053954
Ela ndio nini, na ni picha ya nani aliyoweka hapo? Mwenyewe kakuruhusu uweke?
 
Zamani alikuwa hana mfupa kiuoni now mfupa tele

Asikwambie mtu MPIRA PESA
ukiwa na ELA we MZURI
huyu bidada nikimkumbuka kipindi kike anabugia dawa MWANANYAMALA HOSPTARI alivyokuwa kachakaa yaan mtu unamwambia unamuona RAY C yule
mtu anakubishia hapana siyo

wakuu tutafute ela ukiwa na ela we mzuriView attachment 2053954
Kweli kabisa,sasa hivi ukurutu wote umekwisha.
tapatalk_1592294790979.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kama hiyo picha ni ya sasa bado yupo vizuri tu kwa upande wa macho yangu.
 
Back
Top Bottom